Yaliyomo

Jarida la Mulika

Abstract


Kwa mara nyingine tena Jarida la Mulika linawaletea wasomaji wake mkusanyiko wa makala kupitia Juzuu Na. 42 (2). Kama ilivyo ada, jarida hili linatoa matoleo mawili kwa mwaka, toleo la kwanza linatoka mwishoni mwa Juni na toleo la pili linatoka mwishoni mwa Disemba kila mwaka. Hili ni toleo la pili ambalo hutoka mwishoni mwa mwezi Disemba. Toleo hili ni mwendelezo wa toleo la kwanza ambalo hutoka mwishoni mwa mwezi Juni. Katika toleo hili kuna jumla ya makala 6 ambayo yamejikita katika maeneo mbalimbali ikiwa ni pamoja na fasihi na isimu  ya lugha ya Kiswahili.


Full Text:

i-x

Refbacks

  • There are currently no refbacks.