Jinsi ya Kuthibitisha na Kuchanganua Viambajengo na Muundo wa Virai

Deo S. Ngonyani

Abstract


Makala hii inafafanua vigezo vya kubainisha viambajengo katika Kiswahili. Vigezo hivyo ni (a) ubadili, (b) usogezaji, (c) majibu mafupi na udodoshaji, na (d) uambatishaji. Vyote hutumika sana kama njia jarabati za kutambua mipaka ya virai na viambajengo katika lugha mbalimbali duniani (Aarts, 2001; Carnie, 2012; Sportiche, Koopman, & Stabler, 2014; Haegeman, 2006). Umuhimu na matumizi ya vigezo hivyo unatolewa mfano kwa kuchunguza muundo wa sentensi, virai vitenzi vyenye yambwa mbili, na tungo tata. Matumizi ya mujarabu huu wa viambajengo ni nyenzo muhimu katika kutafiti lugha kwa mikabala yote. Ni mfano bora wa utafiti wa kisayansi ambao ni jarabati.


Full Text:

pdf

Refbacks

  • There are currently no refbacks.