Kioo cha Lugha

Kioo cha Lugha is a peer-reviewed international journal published by the Institute of Kiswahili Studies (IKS) at the University of Dar es Salaam (UDSM). The journal is devoted to publishing articles on Kiswahili language, literature and linguistics and other African languages. It is published once a year but from 2021 it will be published bi-annually. We accept scholarly articles written in Kiswahili or in English.

Please visit our journal at https://journals.udsm.ac.tz/index.php/kclhttps://www.ajol.info/index.php/kcl


 

KIOO CHA LUGHA ni jarida la kimataifa linalopitiwa na wataalamu na kuchapishwa na Taasisi ya Taaluma za Kiswahili (TATAKI) katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (CKD). Jarida linachapisha makala za lugha, fasihi na isimu. Jarida huchapishwa katika juzuu moja kila mwaka, lakini kuanzia mwaka 2021 litaanza kuchapishwa mara mbili (2) kwa mwaka. Makala inaweza kuandikwa kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza.

Makala ziwasilishwe kwa kutumia anwani ya baruapepe kioo1995@udsm.ac.tz au kioo.udsm@gmail.com 

Tafadhali tembelea jarida letu kwa anwani: https://journals.udsm.ac.tz/index.php/kcl,  https://www.ajol.info/index.php/kcl