About the Journal

Kiswahili is a multi-disciplinary Journal advancing Swahili language, linguistics and literature. It is the peer-reviewed journal of the Institute of Kiswahili Studies, University of Dar es Salaam. Its main aim is to gather and disseminate under a single cover a wide variety of research and discussions concerning Kiswahili language, linguistics and literature.

Current Issue

Vol. 87 No. 2 (2024): Kiswahili: Toleo Maalumu la Maadhimisho ya Kiswahili Duniani (MASIKIDU) 2023
					View Vol. 87 No. 2 (2024): Kiswahili: Toleo Maalumu la Maadhimisho ya Kiswahili Duniani (MASIKIDU) 2023

Hili ni Toleo Maalumu kwa ajili  ya makala zilizowasilishwa na zilizoandikwa kwa ajili ya Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani mara baada ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni – UNESCO kutangaza tarehe 7 Julai kuwa ni siku maalumu ya kuadhimisha lugha ya Kiswahili duniani. Kwa hiyo, baadhi ya makala zilizomo katika toleo hili ziliwasilishwa katika maadhimisho ya siku ya Kiswahili duniani Julai 2023 ndani na nje ya Tanzania. Vilevile, baadhi ya makala zilizochapishwa katika toleo hili hazikuwasilishwa popote bali ni mchango wa wadau wa Kiswahili kuhusu maendeleo ya Kiswahili duniani.

Published: 2025-03-07
View All Issues

******************

Kiswahili ni Jarida linalojadili na kuendeleza masuala yanayohusiana na lugha, isimu na fasihi ya Kiswahili. Jarida hili linachapishwa na Taasisi ya Taaluma za Kiswahili, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Jarida la Kiswahili linachapisha makala zinazopitiwa na wasomaji-fiche. Lengo kuu la Jarida ni kukusanya na kusambaza tafiti mbalimbali na mijadala kuhusu lugha, isimu na fasihi ya Kiswahili.